VOA Express - Voice of America

By VOA

Listen to a podcast, please open Podcast Republic app. Available on Google Play Store and Apple App Store.

Image by VOA

Category: Politics

Open in Apple Podcasts


Open RSS feed


Open Website


Rate for this podcast

Subscribers: 62
Reviews: 0
Episodes: 20

Description

VOA Express ni matangazo mapya yenye mwendo wa kasi yakiangalia habari mpya za mchana na maelezo ya maswala yanayohusu vijana na wanawake. Matangazo haya yanafuatilia habari zilizojitokeza nyakati za mchana na ripoti za kina za habari ambazo hazisikiki sana katika matangazo mengineyo.  

Episode Date
VOA Express - Mei 17, 2024
May 17, 2024
Mwanasheria wa Tanzania Anna Henga aeleza kile wanaharakati wanataka serikali ifanye kuboresha sheria kuhusu ukatili wa kijinsia. - Mei 16, 2024
May 16, 2024
VOA Express - Mei 15, 2024
May 15, 2024
Vijana wa Uganda walalamikia tozo mbalimbali wakisema ni vizingiti kwa wanaotaka kuanzisha biashara ndogondogo - Mei 14, 2024
May 14, 2024
Vijana wanaovua samaki kutoka ziwa Victoria walalamikia kuzorota kwa biashara kutokana na mafuriko - Mei 13, 2024
May 13, 2024
Kenya yaomboleza vifo vya mamia ya watu kutokana na mafuriko na yahimiza Wakenya kupanda miti kwa wingi - Mei 10, 2024
May 10, 2024
Kijana mkimbizi kutoka kambi ya Kakuma nchini Kenya anaelezea maisha ya vijana katika kambi za wakimbizi - Mei 09, 2024
May 09, 2024
Wanawake Afrika mashariki wanaelezea umuhimu ikiwemo faida katika matumizi ya nishati mbadala. - Mei 08, 2024
May 08, 2024
Kansela wa masuala ya watoto anaelezea namna watoto wanavyoweza kuelimishwa ili kuepuka matukio yanayowashawishi kuingia katika ngono. - Mei 07, 2024
May 07, 2024
Vijana Miraji na Khadija wana maoni mseto kuhusu ndoa za kutafutiwa na zile ambazo vijana wanajitafutia wao wenyewe. - Mei 06, 2024
May 06, 2024
Shule kuendelea kufungwa Kenya kutokana na mafuriko - Mei 03, 2024
May 03, 2024
Changamoto ya vijana kutaka kuingia kwenye sekta ya burudani kama njia ya kujiajiri - Mei 02, 2024
May 02, 2024
Baadhi ya vijana wa Tanzania na Uganda wanaelezea hali ya fursa na changamoto za ajira zilizopo katika maadhimisho la siku ya wafanyakazi. - Mei 01, 2024
May 01, 2024
Madaktari bingwa wanatarajiwa kuwasili Morogoro nchini Tanzania kufanya uchunguzi na kutibu maradhi mbalimbali kwa wakaazi katika mkoa huo. - Aprili 30, 2024
Apr 30, 2024
Vijana waeleza iwapo mitandao ya kijamii imesababisha baadhi yao kuishi maisha feki, ila hali wanateseka. - Aprili 29, 2024
Apr 29, 2024
Kongamano la kimataifa la kidijitali la Connected Africa Summit lamalizika Nairobi, na kupendekeza mengi yatakayonifaisha vijana. - Aprili 26, 2024
Apr 26, 2024
Dunia inaadhimisha siku ya Malaria kwa kauli mbiu "Kuharakisha mapambano dhidi ya Malaria kwa dunia yenye usawa zaidi". - Aprili 25, 2024
Apr 25, 2024
Edwik anaeleza mafunzo aliyopata ya kuwalinda watoto wakati wa majanga katika warsha iliyoandaliwa na Raising Up Friendship ya Tanzania. - Aprili 24, 2024
Apr 24, 2024
Kuongeza miundombinu ya mawasiliano katika maeneo ya vijijini ni moja ya njia ya kumpa fursa mwanamke wa kijijini sawa na wa mjini - Aprili 23, 2024
Apr 23, 2024
Je ni njia ipi inayofaa zaidi katika kutoa ushauri nasaha? Ni ya moja kwa moja au ya kimitandao? Mtaalam atoa maoni. - Aprili 22, 2024
Apr 22, 2024