Listen to a podcast, please open Podcast Republic app. Available on Google Play Store and Apple App Store.
Sikiliza MAELEZO PODCASTS (Podcasts za Kiswahili kutoka Idara ya Habari MAELEZO, Tanzania) kupata taarifa na matukio mbalimbali nchini Tanzania. Idara ya Habari (MAELEZO) ipo chini ya Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, ikiwa na jukumu la kutoa taarifa kuhusu utekelezaji wa Sera, mipango na miradi ya maendeleo vinavyotekelezwa na Serikali kwa wananchi, kusimamia vyombo vya habari hasa magazeti na machapisho na kuishauri Serikali juu ya Sera na Sheria za habari.
| Episode | Date |
|---|---|
|
Balozi Matinyi: Fursa, Ushirikiano kati ya Algeria na Tanzania
|
Jun 12, 2026 |
|
Balozi Kombo Aeleza Umuhimu wa Ziara ya Rais Samia katika Kuimarisha Mahusiano ya Tanzania na Urusi
|
Jun 08, 2026 |
|
Miaka 10 ya BMH: Jinsi Hospitali ya Benjamin Mkapa Ilivyobadilisha Huduma za Kibingwa Tanzania
|
Jun 04, 2026 |
|
Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo kwa Mwaka wa Fedha 2026/2027 (Mei 4, 2026)
|
May 26, 2026 |
|
Hotuba ya Mhe. Rais Samia na Mhe. Rais, Paul Kagame, Mei 03, 2026
|
May 24, 2026 |
|
Hotuba ya Rais, Dkt. Samia Kwenye Kongamano la Biashara Baina ya Tanzania na Kenya, Mei 4, 2026
|
May 22, 2026 |
|
Elimu kuhusu ugonjwa wa Seli Mundu na Dkt. Catherine Mhando
|
Apr 25, 2026 |
|
Elimu kwa umma kuhusu zoezi la SENSA YA WATU NA MAKAZI (2022)
|
Jan 15, 2026 |
|
Buriani Benjamin mkapa (Julai 25, 2020)
|
Jan 15, 2026 |