Listen to a podcast, please open Podcast Republic app. Available on Google Play Store and Apple App Store.
Makala ya kila siku yanayompa fursa msikilizaji kutoa maoni yake juu ya habari zilizopewa uzito wa juu kwa siku husika. Msikilizaji hushiriki kwa kutuma ujumbe mfupi pamoja na kupiga simu.
Episode | Date |
---|---|
Maoni ya msikilizaji kuhusu yaliojiri nchi mwake wiki hii
|
May 07, 2024 |
Je siku ya wafanyikazi duniani ina maana gani kwa msikilizaji
|
May 03, 2024 |
Ushirikiano wa Afrika na benki ya Dunia pamoja na masharti magumu ya mikopo
|
Apr 30, 2024 |
Mafuriko yanavyoendelea kuutesa ukanda wa Afrika Mashariki
|
Apr 30, 2024 |
Sikiliza maoni yako kwenye makala Habari Rafiki Mada huru
|
Apr 26, 2024 |
Ongezeko la matukio ya kigaidi katika nchi mbalimbali barani Afrika inatia hofu
|
Apr 25, 2024 |
Nchi za Afrika Mashariki kuongeza kodi ili kupata mapato zaidi ya serikali
|
Apr 24, 2024 |
Marekani kupendekeza suluhu kuhusu mzozo wa mashariki mwa DRC kwa njia ya mazungumzo
|
Apr 23, 2024 |
Wito wa msaada w akibinadamu kwa mamilioni ya raia wa mashiriki mwa DRC
|
Apr 23, 2024 |
Maoni yako kwenye mada huru makala habari rafiki
|
Mar 29, 2024 |
Mgombea wa upinzani Bassirou Diomaye Faye mwenye umri wa miaka 44 ashinda uchaguzi nchini Senegal
|
Mar 27, 2024 |
Mgomo wa madaktari nchini Kenya, na sekta ya afya katika mataifa ya Afrika.
|
Mar 26, 2024 |
Viongozi wa jumuiya ya SADC wakubaliana kuendelea kuisaidia DRC
|
Mar 26, 2024 |
Hatua ya Gambia kuondoa marufuku ya ukeketaji wa wanawake na wasichana
|
Mar 20, 2024 |
DRC yarejesha adhabu ya kifo ikiwalenga wahaini
|
Mar 20, 2024 |
Rais wa Rwanda Paul Kagame na Felix Tshisekedi kukutana kwa masharti
|
Mar 20, 2024 |
Kila Ijumaa ni nafasi kuchangia mada ndani ya rfi Kiswahili
|
Mar 15, 2024 |
Kenya : Yasitisha mpango wa kutuma polisi Haiti
|
Mar 13, 2024 |
Dunia: Mwezi mtukufu wa Ramadhan waanza rasmi
|
Mar 12, 2024 |
Ukeketaji donda sugu UNICEF yasema
|
Mar 11, 2024 |
Maoni ya wasilizaji kuhusu siku ya wanawake duniani march 8
|
Mar 11, 2024 |
Maoni ya waskilizaji kuhusu malalamiko ya wasanii wa Kenya kunyimwa mirabaha
|
Mar 06, 2024 |
Maoni yako katika mada huru
|
Feb 24, 2024 |
Maoni yako kuhusu kuwepo kwa umri wa lazima wa watu kustaafu
|
Feb 23, 2024 |