Jua Haki Zako

By RFI Kiswahili

Listen to a podcast, please open Podcast Republic app. Available on Google Play Store and Apple App Store.

Image by RFI Kiswahili

Category: Government

Open in Apple Podcasts


Open RSS feed


Open Website


Rate for this podcast

Subscribers: 0
Reviews: 0
Episodes: 24

Description

Jua Haki Zako ni makala yanayokuelimisha juu ya umuhimu wa kufahamu haki zako na sheria halali zilizomo kwenye jamii, mataifa na dunia kwa ujumla. Jua Haki Zako itakuelimisha juu ya masuala mbalimbali ya kisheria ndani ya Afrika Mashariki, Afrika na Duniani kwa ujumla.


Episode Date
Je haki za mtoto wa kiume unazifahamu, na je unafikiri zimekiukwa?
May 09, 2024
Kenya : Polisi watuhumiwa kuwaua raia kiholela zaidi ya raia 118 wakiuawa mwaka 2023
May 02, 2024
Kenya : Serikali yaanza kutoa miili ya waumini waliofariki baada ya kususia chakula ili wamuone Yesu
Apr 25, 2024
Haki ya watoto chotara shirika la African Futures Lab linataka Ubelgiji kuwatambua
Apr 17, 2024
Madaktari nchini Kenya wagoma kuishinikiza serikali kuzingatia haki zao
Apr 16, 2024
DRC : Jamii ya mbilikimo yalilia serikali kuwapa nafasi kuhudumu serikalini
Apr 10, 2024
Haki za raia wa mataifa ya Afrika wanaofanya kazi katika mataifa ya ughaibuni.
Apr 04, 2024
Kenya : Dhuluma za kijinsia na mrundiko wa kesi mahakamani
Mar 19, 2024
DRC: Waasi wa CODECO wadaiwa kutekeleza mauwaji ya kikabila
Mar 15, 2024
Kenya: siku ya wanawake duniani nini Kipya?
Mar 08, 2024
Kenya : Wasanii walilia haki yao
Mar 02, 2024
Haki ya kutali Africa bila vikwazo
Feb 21, 2024
Valentine : Haki ya wanaume na wanawake
Feb 17, 2024
Kenya : Viongozi wa dini wapinga ushoga
Feb 09, 2024
DRC : Je haki za raia zilikiukwa kipindi cha uchaguzi?
Feb 03, 2024
Haki ya mtoto kupata elimu ( Fizi)
Jan 26, 2024
Human watch yatahumu jamii ya kimataifa kwa kukosa kusadia Sudan
Jan 21, 2024
Hali ya haki za binadamu nchini Kenya na Tanzania
Jan 09, 2024
Mashirika ya misaada ya kibinadamu yakumbwa na uhaba wa fedha
Dec 19, 2023
Ipo siku watu wanaoishi na walemavu watapata nafasi sawa katika jamii
Dec 11, 2023
Mashirika ya kutetea haki za kibinadamu kushinikiza serikali kutekeleza maamuzi ya mahakama
Dec 04, 2023
Siku 16 za mapambano dhidi ya ukatili wa wanawake
Dec 01, 2023
Manufaa ya mitandao, mwandishi Paul Braine anasimulia
Nov 28, 2023
Haki ya watoto kipindi hiki cha kidigiti
Nov 07, 2023