Listen to a podcast, please open Podcast Republic app. Available on Google Play Store and Apple App Store.
Episode | Date |
---|---|
Vita ya Sudan kuingia mwaka wa tatu, Joseph Kabila arejea nchini DRC
|
Apr 19, 2025 |
Kiongozi wa Chama cha upinzani Tanzania Chadema ashikiliwa kwa uhaini, hali ya DRC
|
Apr 12, 2025 |
Ziara ya rais wa Uganda nchini Sudan kusini, waasi wa M23 wajiondoa Walikale
|
Apr 05, 2025 |
kukamatwa kwa makamu wa kwanza wa rais Sudan Kusini, waasi wa M23 waalikwa Doha
|
Mar 31, 2025 |
Rais wa DRC Tshisekedi akutana na mwenzake wa Rwanda Paul Kagame, vita nchini Sudan
|
Mar 22, 2025 |
Mkutano wa Luanda kati ya DRC na waasi wa M23 marchi 18, hali ya sudani na kwengineko
|
Mar 15, 2025 |
Muungano wa Rais wa Kenya W. Ruto na Raila Odinga, hali mbaya ya kibinadamu DRC
|
Mar 08, 2025 |
Rais Donald Trump na Volodymyr Zelensky watofautiana kuhusu vita nchini Ukraine
|
Mar 04, 2025 |
Kizza Besigye wa Uganda ashtakiwa kwa uhaini, Kenya na Sudan zatofautiana kuhusu RSF
|
Feb 23, 2025 |
Mkutano wa AU kuhusu mzozo wa DRC, waasi wa M23 waudhibiti mji wa Bukavu
|
Feb 15, 2025 |
Mkutano wa pamoja kati ya SADC na EAC kuhusu DRC
|
Feb 08, 2025 |
Juhudi za kimataifa katika kusaka amani ya mashariki mwa DRC
|
Feb 01, 2025 |
Kuapishwa kwa Rais wa Marekani Donald Trump kwa muhula wa pili
|
Jan 25, 2025 |
Israeli na wapiganaji wa Hamas wakubaliana kusitisha vita huko Gaza
|
Jan 18, 2025 |
Mapigano mashariki mwa DRC, ziara ya rais Ruto nchini Angola na mengineyo
|
Jan 11, 2025 |
Mwaka mpya wa 2025 na matarajio ya ulimwengu kuhusu usalama amani na maendeleo
|
Jan 04, 2025 |
Polisi wa Kenya wasambaratisha maandamano, hotuba ya Tshisekedi bungeni DRC
|
Dec 14, 2024 |
Ziara ya rais Joe Biden huko Angola, watano wahukumiwa kifo huko DRC
|
Dec 07, 2024 |
DRC:Rais Felix Tchisekedi awataka raia wa nchi yake kuunga mkono mabadiliko ya katiba
|
Nov 30, 2024 |
Maaskofu wa kikatoliki nchini Kenya wakosoa utawala, Rwanda yamaliza Marbug
|
Nov 16, 2024 |
Uchaguzi wa Marekani, mapigano DRC, kampeni za Raila kuwania uenyekiti wa tume ya AU
|
Nov 09, 2024 |
Kithure Kindiki aapishwa kuwa makamu wa rais Kenya, ziara ya rais wa DRC nchini Uganda
|
Nov 02, 2024 |
Rais Tshisekedi asema katiba ya Congo itarekebishwa, kesi ya naibu rais wa Kenya
|
Oct 26, 2024 |
Naibu rais wa Kenya Gachagua atimliwa, usalama wa mashariki ya DRC wajadiliwa Luanda
|
Oct 19, 2024 |