Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii

By RFI Kiswahili

Listen to a podcast, please open Podcast Republic app. Available on Google Play Store and Apple App Store.

Image by RFI Kiswahili

Category: News

Open in Apple Podcasts


Open RSS feed


Open Website


Rate for this podcast

Subscribers: 0
Reviews: 0
Episodes: 24

Description

Makala yanayochambua masuala na matukio mbalimbali yaliyotokea kwenye jamii kwa wiki nzima kwa kina, yanatoa fursa kwa msikilizaji kueleza hisia na mtazamo wake juu ya masuala yanayoendelea kutokea iwe ni katika uga wa uchumi na siasa duniani kote.

Episode Date
Vita ya Sudan kuingia mwaka wa tatu, Joseph Kabila arejea nchini DRC
Apr 19, 2025
Kiongozi wa Chama cha upinzani Tanzania Chadema ashikiliwa kwa uhaini, hali ya DRC
Apr 12, 2025
Ziara ya rais wa Uganda nchini Sudan kusini, waasi wa M23 wajiondoa Walikale
Apr 05, 2025
kukamatwa kwa makamu wa kwanza wa rais Sudan Kusini, waasi wa M23 waalikwa Doha
Mar 31, 2025
Rais wa DRC Tshisekedi akutana na mwenzake wa Rwanda Paul Kagame, vita nchini Sudan
Mar 22, 2025
Mkutano wa Luanda kati ya DRC na waasi wa M23 marchi 18, hali ya sudani na kwengineko
Mar 15, 2025
Muungano wa Rais wa Kenya W. Ruto na Raila Odinga, hali mbaya ya kibinadamu DRC
Mar 08, 2025
Rais Donald Trump na Volodymyr Zelensky watofautiana kuhusu vita nchini Ukraine
Mar 04, 2025
Kizza Besigye wa Uganda ashtakiwa kwa uhaini, Kenya na Sudan zatofautiana kuhusu RSF
Feb 23, 2025
Mkutano wa AU kuhusu mzozo wa DRC, waasi wa M23 waudhibiti mji wa Bukavu
Feb 15, 2025
Mkutano wa pamoja kati ya SADC na EAC kuhusu DRC
Feb 08, 2025
Juhudi za kimataifa katika kusaka amani ya mashariki mwa DRC
Feb 01, 2025
Kuapishwa kwa Rais wa Marekani Donald Trump kwa muhula wa pili
Jan 25, 2025
Israeli na wapiganaji wa Hamas wakubaliana kusitisha vita huko Gaza
Jan 18, 2025
Mapigano mashariki mwa DRC, ziara ya rais Ruto nchini Angola na mengineyo
Jan 11, 2025
Mwaka mpya wa 2025 na matarajio ya ulimwengu kuhusu usalama amani na maendeleo
Jan 04, 2025
Polisi wa Kenya wasambaratisha maandamano, hotuba ya Tshisekedi bungeni DRC
Dec 14, 2024
Ziara ya rais Joe Biden huko Angola, watano wahukumiwa kifo huko DRC
Dec 07, 2024
DRC:Rais Felix Tchisekedi awataka raia wa nchi yake kuunga mkono mabadiliko ya katiba
Nov 30, 2024
Maaskofu wa kikatoliki nchini Kenya wakosoa utawala, Rwanda yamaliza Marbug
Nov 16, 2024
Uchaguzi wa Marekani, mapigano DRC, kampeni za Raila kuwania uenyekiti wa tume ya AU
Nov 09, 2024
Kithure Kindiki aapishwa kuwa makamu wa rais Kenya, ziara ya rais wa DRC nchini Uganda
Nov 02, 2024
Rais Tshisekedi asema katiba ya Congo itarekebishwa, kesi ya naibu rais wa Kenya
Oct 26, 2024
Naibu rais wa Kenya Gachagua atimliwa, usalama wa mashariki ya DRC wajadiliwa Luanda
Oct 19, 2024