Listen to a podcast, please open Podcast Republic app. Available on Google Play Store and Apple App Store.
Makala inayojadili kwa kina masuala ya afya, tiba na kutambua magonjwa mbalimbali bila ya kusahau namna ya kukabiliana nayo. Watalaam walibobea kwenye sekta ya afya watakujuvya na kukuelimisha juu ya umuhimu wa kuwa na afya bora na si bora afya. Pia utawasikiliza kwa maneno yao watu ambao wameathirika na magonjwa mbalimbali na walikumbwa na nini hadi kufika hapo walipo.
| Episode | Date |
|---|---|
|
Changamoto zinazowakumba watalaam wanaojikita kwenye tiba asilia nchini DRC
|
Apr 08, 2025 |
|
Ufanisi wa Tiba asili nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo
|
Apr 07, 2025 |
|
Ukosefu wa maji salama unavyozidisha hali ya kibinadaam barani Afrika
|
Mar 26, 2025 |
|
Mpango wa lishe katika shule za umma nchini Kenya kupambana na utapiamlo
|
Mar 19, 2025 |
|
Haja ya huduma muhimu za wanawake waja wazito kupatikana kwa urahisi
|
Mar 11, 2025 |
|
Hali halisi ya Malaria barani Afrika wakati huu ufadhili ukiendelea kushuka
|
Mar 10, 2025 |
|
Kukata kiu ya jamii zinazoishi mpaka wa Kenya na Somalia ,waathiriwa wa mgogoro
|
Feb 25, 2025 |
|
Utayari wa ukanda wa Afrika kupambana na magonjwa ya milipuko
|
Feb 19, 2025 |
|
Juhudi za Guinea kumaliza ugonjwa wa Malale mojawapo ya magonjwa yaliyotengwa
|
Feb 05, 2025 |
|
Ugonjwa wa Ukoma bado ni changamoto kubwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo
|
Jan 29, 2025 |
|
Ongezeko la mafua na magonjwa yenye dalili za mafua wakati wa joto
|
Jan 21, 2025 |
|
Dunia: Zaidi ya watu Milioni 18 wameathirika na ugonjwa wa mtindio wa ubongo
|
Jan 07, 2025 |
|
Uzazi wa Mpango:Wanaume wajitolea kufanya upasuaji wa mirija -Vasektomia
|
Dec 31, 2024 |
|
Kupanga uzazi kwa kutumia njia za homoni na ile ya Kitanzi -Matatizo ya Afya kwa Wanawake
|
Dec 24, 2024 |
|
Uzazi wa mpango kwa njia asilia
|
Dec 17, 2024 |
|
Juhudi za kupunguza matumizi ya dawa za kulevya eneo la Pwani ya Kenya
|
Dec 13, 2024 |
|
Maadhimisho ya siku ya Ukimwi duniani
|
Dec 09, 2024 |
|
Dunia: Wahudumu wa afya waendelea kuuawa katika maeneo ya mizozo
|
Dec 07, 2024 |
|
Afya ya kujifungua na uzazi: Changamoto zinazotokea wakati wa kujifungua mtoto
|
Nov 12, 2024 |
|
Afya ya uzazi na kujifungua
|
Nov 08, 2024 |
|
Juhudi za kikanda kukabiliana na tatizo la kiafya la kungatwa na nyoka
|
Oct 29, 2024 |
|
Kukabiliana na tatizo la kiafya la kungatwa na nyoka katika ukanda wa Afrika
|
Oct 22, 2024 |
|
ICRC yapambana kutoa huduma za afya za dharura ndani ya saa 96
|
Oct 08, 2024 |
|
Ugonjwa wa Selimundu maarufu Sickle Cell unavyowaathiri wengi
|
Oct 07, 2024 |