LENZI Podcast with Michael Kamukulu

By Michael Kamukulu

Listen to a podcast, please open Podcast Republic app. Available on Google Play Store and Apple App Store.


Category: Self-Improvement

Open in Apple Podcasts


Open RSS feed


Open Website


Rate for this podcast
    

Subscribers: 0
Reviews: 0
Episodes: 23

Description

Jifunze kupitia mijadala na maelezo yanayohusu mada mbalimbali ili upate ufahamu juu mienendo ya sasa katika nyanja na tasnia tofauti. Pata uchambuzi wa takwimu rasmi katika kuleta uhalisia wa mada tunazozijadili. Uwe ni mmiliki wa biashara unayetaka kuboresha biashara yako ama kufungua mradi mpya, au mtu binafsi unayetaka kuongeza ufanisi wako, podcast yetu ina kitu kwa ajili yako. SIKILIZA ILI UWEZE KUJIFUNZA

Episode Date
S1E22 Unatumia Siku 28 kwenye Social Media kwa Mwaka: Ijue Gharama Halisi | LENZI | Michael Kamukulu
Nov 04, 2023
S1E21 Digital Detox: Jinsi nilivyojiondoa kwenye addiction ya SIMU na Mitandao | Michael Kamukulu LENZI
Oct 28, 2023
S1E20 Matumizi ya SIMU: Fahamu athari za matumizi yaliyopitiliza ya simu | LENZI | Michael Kamukulu
Oct 21, 2023
S1E19 Mjasiriamali: YAJUE MAENEO MANNE (4) YA UWEKEZAJI USIOKUWA WA KIBIASHARA | LENZI | Michael Kamukulu
Oct 14, 2023
S1E18 MTUMIAJI WA SIMU: Fahamu njia tano (5) za kuongeza usalama wako mtandaoni | LENZI | Michael Kamukulu
Oct 07, 2023
S1E17 Jinsi ya Kufanya Manunuzi Salama Mtandaoni: Mambo Matano (5) ya Muhimu | LENZI | Michael Kamukulu
Sep 30, 2023
S1E16 Harufu Ya Chakula Haitibu Njaa: Furaha inayotegemea kuwaridhisha watu wengine bila faida binafsi, ni UTUMWA
Sep 23, 2023
S1E15 Ishara 5 kwamba unapoteza kuliko unavyopata (unapoteza MUDA, THAMANI, FEDHA kwenye kazi na biashara)
Sep 16, 2023
S1E14 Fahamu sababu za kuichoka kazi yako (Mambo Matatu [3] ya kuzingatia) | LENZI | Michael Kamukulu
Sep 09, 2023
S1E13 Ni Nani Anashikilia Uchumi, Soko na Umiliki wa Biashara ya Bodaboda?? | LENZI | Michael Kamukulu
Sep 02, 2023
S1E12 Kwa nini hatuwezi kulipa madeni?? (2/3 ya watanzania hawawezi kumudu gharama za maisha)
Aug 19, 2023
S1E11 Zijue Kazi 10 Mpya Kwenye Soko la Ajira (Duniani!)
Aug 12, 2023
S1E10 SIRI 5 za KUKUA, na KUFANIKIWA kwenye KAZI (AJIRA) na maisha
Aug 05, 2023
S1E9 Biashara na Wajasiriamali 7 wenye washindani usioutegemea (bila kujali pesa) - Unusual Rivals
Jul 29, 2023
S1E8 [Part 2] Simu Sio Chanzo za Migogoro kwenye Mahusiano ft. Teacher Gonza
Jul 22, 2023
S1E7 [Part 1] Simu Sio Chanzo cha Migogoro kwenye Mahusiano ft Teacher Gonza
Jul 15, 2023
S1E5. UBUNIFU [Part 2]: Jinsi DIGITALI inavyofungua milango ya FURSA za uzalishaji wa MAUDHUI na MAWASILIANO ft. Jane Shussa
Jul 08, 2023
S1E5. UBUNIFU [Part 1]: Jinsi DIGITALI inavyofungua milango ya FURSA za uzalishaji wa MAUDHUI na MAWASILIANO ft. Jane Shussa
Jul 01, 2023
S1E4. [Part 2] Je, tuko salama kwenye ulimwengu wa Data na Teknolojia? ft. Miriam Mwaibula
Jun 24, 2023
S1E3. [Part 1] Je, tuko salama kwenye zama mpya za Data na Teknolojia? ft.Miriam Mwaibula
Jun 17, 2023
S1E2. SIRI ya kufanya KAZI mbili: Moja ikitegemea ELIMU na nyingine ikitegemea KIPAJI ft. Grace Brown
Jun 10, 2023
S1E1: Fahamu kwa nini takribani 1/4 ya shule zote za Msingi za Binafsi Tanzania ziko Dar es Salaam
Jun 03, 2023
LENZI Podcast Trailer
May 08, 2023