Listen to a podcast, please open Podcast Republic app. Available on Google Play Store and Apple App Store.
Tanzania Communications Regulatory Authority (TCRA) is a statutory regulatory body responsible for regulating the electronic and postal communication sector in Tanzania. It was established under the Tanzania Communications Regulatory Authority Act, No.12 of 2003, which merged the Tanzania Communications Commission (TCC) and the Tanzania Broadcasting Commission (TBC).
Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) ni taasisi iliyoasisiwa kwa mujibu wa sheria yenye wajibu wa kudhibiti sekta ya mawasiliano ya Kielektroni na Posta Tanzania. Ilianzishwa kwa Sheria ya Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) namba 12 ya mwaka 2003, ambayo iliunganisha zilizokuwa Tume ya Mawasiliano Tanzania (TCC) na Tume ya Utangazaji Tanzania (TBC).
| Episode | Date |
|---|---|
|
Mawasiliano ni Fursa: Gari la Mtambo (Mobile Monitoring Radio Frequency Station)
|
Jul 17, 2025 |
|
Matumizi ya Akili Unde (Artificial Intelligence) Katika Zama za Kidijiti
|
Jun 30, 2025 |
|
Dondoo za Kutambua Taarifa Feki Mtandaoni
|
Jun 09, 2025 |
|
Uidhinishwaji wa Vifaa vya Mawasiliano ya Kielektroniki
|
May 26, 2025 |
|
Usimamizi wa Huduma za Posta Tanzania (Sehemu ya Kwanza)
|
May 26, 2025 |
|
Usimamizi wa Huduma za Posta Tanzania (Sehemu ya Pili)
|
May 26, 2025 |
|
TCRA Zanzibar: Majukumu ya Mamlaka ya Mawasiliano, Ofisi ya Zanzibar
|
May 05, 2025 |
|
Taarifa ya Sekta ya Mawasiliano: Januari - Machi, 2025
|
May 02, 2025 |
|
Wasichana katika TEHAMA, 2025: Mageuzi Jumuishi ya Kidijiti
|
May 02, 2025 |
|
Jamii Yetu: Zanzibar - Mawasiliano na Maendeleo ya Kilimo
|
Mar 03, 2025 |