Jioni - Voice of America

By VOA

Listen to a podcast, please open Podcast Republic app. Available on Google Play Store and Apple App Store.

Image by VOA

Category: News

Open in Apple Podcasts


Open RSS feed


Open Website


Rate for this podcast

Subscribers: 4
Reviews: 0
Episodes: 50

Description

Matangazo ya saa nzima kuhusu habari za kutwa, ikiwa ni pamoja ripoti kutoka kwa waandishi wetu sehemu mbali mbali duniani na kote Afrika Mashariki na Kati, na vile vile vipindi na makala maalum kuhusu afya, wanawake, jamii na maendeleo.

Episode Date
LIVE TALK: DRC imetishia kushitaki Rwanda katika mahakama ya ICJ kutokana na vita vya waasi wa M23 - Mei 17, 2024
May 17, 2024
DRC inataka Marekani na umoja wa Ulaya kuiwekea Rwanda vikwazo - Mei 16, 2024
May 16, 2024
Jioni - Mei 15, 2024
May 15, 2024
Wasiwasi watanda katika jimbo la Kivu Kusini, DRC, baada ya watu 18 kuuawa na watu wanaodhaniwa kuwa waasi wa ADF - Mei 14, 2024
May 14, 2024
Burundi na Rwanda zaingia katika mvutano baada ya shambulizi la Bujumbura. - Mei 13, 2024
May 13, 2024
Mamlaka ya Tunisia yaamuru kukamatwa kwa wachambuzi wawili wa siasa - Mei 12, 2024
May 12, 2024
Jarida la wikendi limeangazia siasa za Marekani kuelekea uchaguzi wa 2024 - Mei 11, 2024
May 11, 2024
Shinkizo la kutaka mabadiliko ya sheria za uchaguzi Tanzania kuelekea uchaguzi mkuu 2025 - Mei 10, 2024
May 10, 2024
Umoja wa Ulaya kimsingi umeridhia makubaliano ambayo yatatumia mapato kutoka kwa mali za Russia zilizozuiwa kusambaza silaha kwa Ukraine. - Mei 09, 2024
May 09, 2024
Madaktari nchini Kenya wamesitisha mgomo wao ambao umedumu kwa takribani siku 56. - Mei 08, 2024
May 08, 2024
Wachunguzi wa Ukraine wanasema walizima mpango wa mawakala wa Russia wa kumuua Rais Volodymyr Zelenskyy. - Mei 07, 2024
May 07, 2024
Mataifa ya Afrika mashariki yameamua kushirikiana katika ujenzi wa reli ya mwendo kasi SGR ili kuimarisha uchumi na uchukuzi wa nchi hizo. - Mei 06, 2024
May 06, 2024
Israel yafunga matangazo ya Al Jazeera - Mei 05, 2024
May 05, 2024
Shirika la hali ya hewa Duniani linaonya athari za kimbunga Hidaya kinachotarajiwa kutua Tanzania na Kenya. - Mei 04, 2024
May 04, 2024
Hali ya uhuru wa waandishi na vyombo vya habari Afrika Mashariki - Mei 03, 2024
May 03, 2024
Serekali ya DRC yamuagiza gavana wa Ituri kuwafurusha na kuwarudisha kwao raia wote wa China wanaochimba migodi kinyume cha sheria - Mei 02, 2024
May 02, 2024
Rwanda inasema imebuni ajira milioni 1,300,000 miaka mitano iliyopita - Mei 01, 2024
May 01, 2024
Serikali ya Kenya yawaagiza raia wanaoishi katika maeneo yanayokabiliwa na mafuriko kuondoka ndani ya saa 48 - Aprili 30, 2024
Apr 30, 2024
Darzeni ya watu wamefariki nchini Kenya baada ya bwawa kupasuka katika kaunti ya Nakuru kutokana na mvua kubwa zinazonyesha nchini humo. - Aprili 29, 2024
Apr 29, 2024
Qatar inawasihi Israel na Hamas kuonyesha kujitolea na umakini mkubwa katika mashauriano ya kusitisha mapigano huko Gaza. - Aprili 28, 2024
Apr 28, 2024
Rais wa Afrika kusini Cyril Ramaphosa amejigamba kuhusu mafanikio katika nchi hiyo chini ya uongozi wa chama chake cha ANC - Aprili 27, 2024
Apr 27, 2024
Live Talk kuhusiana na vita dhidi ya ugonjwa wa Malaria, baada ya siku ya Malaria Duniani ikiadhimishwa Alhamisi - Aprili 26, 2024
Apr 26, 2024
Watafiti wa afya wayaomba mataifa ya Afrika kuchukua hatua zaidi kupambana na Malaria - Aprili 25, 2024
Apr 25, 2024
Jioni - Aprili 24, 2024
Apr 24, 2024
Wachambuzi wa uchumi nchini Uganda wanaitaka serikali kupunguza kiwango cha kodi kwa wafanyabiashara - Aprili 23, 2024
Apr 23, 2024
Jioni - Aprili 22, 2024
Apr 22, 2024
Mamia ya watu waliandamana nchini Niger kupinga uwepo wa wanajeshi wa Marekani katika eneo linalotawaliwa na jeshi la Niger. - Aprili 21, 2024
Apr 21, 2024
Jioni - Aprili 20, 2024
Apr 20, 2024
Serikali ya Kenya na chama cha madaktari waanza mazungumzo kutafuta suluhu kwa mgomo wa madaktari - Aprili 19, 2024
Apr 19, 2024
Jioni - Aprili 18, 2024
Apr 18, 2024
Mahakama ya Katiba ya Uganda yakataa kubatilisha sheria kali iliopitishwa na bunge dhidi ya wapenzi wa jinsia moja. - Aprili 17, 2024
Apr 17, 2024
Madaktari wa Kenya wameapa kuendelea na mgomo wao hadi pale serikali itakapotimiza matakwa yao. - Aprili 16, 2024
Apr 16, 2024
Wachambuzi wasema kuwa uchaguzi wa Senegal huenda ukabadili mwelekeo wa kisiasa wa kieneo. - Aprili 15, 2024
Apr 15, 2024
Watu zaidi ya milioni 8.4 huko Sudan wakiwemo watoto milioni mbili walio chini ya miaka mitano wako ukingoni mwa baa la njaa; inasema MSF. - Aprili 14, 2024
Apr 14, 2024
Jioni - Aprili 13, 2024
Apr 13, 2024
Wazazi wenye watoto wa Autism pamoja na wataalamu wa Afya wanaelezea ugonjwa wa Usonji au Autism na changamoto zake katika maisha - Aprili 12, 2024
Apr 12, 2024
Jioni - Aprili 11, 2024
Apr 11, 2024
Kipindi maalum cha salaam za Eid kutoka studio za VOA, Washington - Aprili 10, 2024
Apr 10, 2024
Jioni - Aprili 09, 2024
Apr 09, 2024
Wafanyabiashara nchini Uganda wameandamana kupinga ongezeko la kodi na sera ya kodi isiyo ya haki katika nakala za fedha za kielektronik - Aprili 08, 2024
Apr 08, 2024
Jioni - Aprili 07, 2024
Apr 07, 2024
Rwanda inajiandaa kuadhimisha miaka 30 ya mauaji ya Kimbari - Aprili 06, 2024
Apr 06, 2024
Jioni - Aprili 05, 2024
Apr 05, 2024
Jioni - Aprili 04, 2024
Apr 04, 2024
Jioni - Aprili 03, 2024
Apr 03, 2024
Dunia inaadhimisha siku ya Usonji au Autism huku wazazi wanaoishi na watoto wenye tatizo hilo wanaelezea changamoto zilizopo katika matibabu - Aprili 02, 2024
Apr 02, 2024
Jioni - Aprili 01, 2024
Apr 01, 2024
Mapato kutokana na utalii nchini Kenya yaliongezeka takribani theluthi moja mwaka 2023 - Machi 31, 2024
Mar 31, 2024
Vatican yathibitisha kuwa Papa Francis ataongoza ibada ya mkesha wa Pasaka - Machi 30, 2024
Mar 30, 2024
Mazungumzo ya Live Talk kuhusu Ijumaa kuu pamoja na wikiendi ya Pasaka kwa ujumla. - Machi 29, 2024
Mar 29, 2024