Siha Njema

By RFI

Listen to a podcast, please open Podcast Republic app. Available on Google Play Store and Apple App Store.

Image by RFI

Category: News & Politics

Open in Apple Podcasts


Open RSS feed


Open Website


Rate for this podcast

Subscribers: 1
Reviews: 0
Episodes: 24

Description

Makala inayojadili kwa kina masuala ya afya, tiba na kutambua magonjwa mbalimbali bila ya kusahau namna ya kukabiliana nayo. Watalaam walibobea kwenye sekta ya afya watakujuvya na kukuelimisha juu ya umuhimu wa kuwa na afya bora na si bora afya. Pia utawasikiliza kwa maneno yao watu ambao wameathirika na magonjwa mbalimbali na walikumbwa na nini hadi kufika hapo walipo.


Episode Date
Changamoto zinazowakumba watalaam wanaojikita kwenye tiba asilia nchini DRC
Apr 08, 2025
Ufanisi wa Tiba asili nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo
Apr 07, 2025
Ukosefu wa maji salama unavyozidisha hali ya kibinadaam barani Afrika
Mar 26, 2025
Mpango wa lishe katika shule za umma nchini Kenya kupambana na utapiamlo
Mar 19, 2025
Haja ya huduma muhimu za wanawake waja wazito kupatikana kwa urahisi
Mar 11, 2025
Hali halisi ya Malaria barani Afrika wakati huu ufadhili ukiendelea kushuka
Mar 10, 2025
Kukata kiu ya jamii zinazoishi mpaka wa Kenya na Somalia ,waathiriwa wa mgogoro
Feb 25, 2025
Utayari wa ukanda wa Afrika kupambana na magonjwa ya milipuko
Feb 19, 2025
Juhudi za Guinea kumaliza ugonjwa wa Malale mojawapo ya magonjwa yaliyotengwa
Feb 05, 2025
Ugonjwa wa Ukoma bado ni changamoto kubwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo
Jan 29, 2025
Ongezeko la mafua na magonjwa yenye dalili za mafua wakati wa joto
Jan 21, 2025
Dunia: Zaidi ya watu Milioni 18 wameathirika na ugonjwa wa mtindio wa ubongo
Jan 07, 2025
Uzazi wa Mpango:Wanaume wajitolea kufanya upasuaji wa mirija -Vasektomia
Dec 31, 2024
Kupanga uzazi kwa kutumia njia za homoni na ile ya Kitanzi -Matatizo ya Afya kwa Wanawake
Dec 24, 2024
Uzazi wa mpango kwa njia asilia
Dec 17, 2024
Juhudi za kupunguza matumizi ya dawa za kulevya eneo la Pwani ya Kenya
Dec 13, 2024
Maadhimisho ya siku ya Ukimwi duniani
Dec 09, 2024
Dunia: Wahudumu wa afya waendelea kuuawa katika maeneo ya mizozo
Dec 07, 2024
Afya ya kujifungua na uzazi: Changamoto zinazotokea wakati wa kujifungua mtoto
Nov 12, 2024
Afya ya uzazi na kujifungua
Nov 08, 2024
Juhudi za kikanda kukabiliana na tatizo la kiafya la kungatwa na nyoka
Oct 29, 2024
Kukabiliana na tatizo la kiafya la kungatwa na nyoka katika ukanda wa Afrika
Oct 22, 2024
ICRC yapambana kutoa huduma za afya za dharura ndani ya saa 96
Oct 08, 2024
Ugonjwa wa Selimundu maarufu Sickle Cell unavyowaathiri wengi
Oct 07, 2024